Mohamed Simba Banka, kiungo wa zamani wa Klabu ya Yanga na Simba amepatwa na msiba kwa kuondokewa na mkewe, Bi Mariam Abdul Banchu.
Umauti umemfikia Mariam usiku wa kuamkia leo kwenye Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam baada ya kujiskia vibaya ghafla na kupelekwa kupewa huduma mpaka kukutwa na umauti.
Shughuli za mazishi zitafanyika kwenye msikiti wa Maamur na maziko yatafanyika makaburi ya Kisutu na msiba utakuwa Tabata Chang’ombe.
Pole nyingi sana kwa Mo Banka na familia kea ujumla
ReplyDeleteInnalillahi wainna ilaihi rajiun,
ReplyDeleteAllah ampe hauli thabiti
Kauli thabit na ampunguzie adhabu ya kaburi
ReplyDeleteInna Lillah Wa Inna Ilayhi Rajiun
ReplyDeleteR I P
ReplyDeleteDaah vizuri vinasepa migunga inayosumbua huku mtaani inabaki. RIP shemeji
ReplyDeletePumzika kwa amani
ReplyDeletePole banka, yote Ni mapenzi ya MUNGU
ReplyDelete