Mugalu ni aina ya wafungaji waliokuwa wakizitesa timu zetu za Tanzania yaani ukijasahau tu basi mtaanza kulaumiana mpira tumecheza sisi lakini tunafungwa kwa sababu huyu jamaa anaonekana kazi yake kweli ni kufunga magoli sio mchezo kinachovutia ni utulivu wake anapokuwa na mpira katika eneo la mpinzani hatari!!!
Mugalu ni aina ya wafungaji waliokuwa wakizitesa timu zetu za Tanzania yaani ukijasahau tu basi mtaanza kulaumiana mpira tumecheza sisi lakini tunafungwa kwa sababu huyu jamaa anaonekana kazi yake kweli ni kufunga magoli sio mchezo kinachovutia ni utulivu wake anapokuwa na mpira katika eneo la mpinzani hatari!!!
ReplyDeleteNi ukweli mtupu huyu Mugalu anacheza mpira Kwa utulivu, akili na Hana papara kama za Bocco.Hata Ilanfya ni mtulivu japo naona ni mzito.
Delete