October 4, 2020


ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic raia wa Serbia leo ameanza safari ya Kurejea nchini Serbia baada ya mkataba wake kusitisha jana Oktoba 3.

Zlatko alitambulishwa ndani ya Yanga, Agosti 29 akichukua mikoba ya Luc Eymael ambaye naye aitimuliwa kutokana na makosa ya kiubaguzi.

Jana ilikuwa ni mchezo wake wa nane ambapo ilikuwa dhidi ya Coastal Union na ilishinda mabao 3-0

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic