October 4, 2020

 


FT: JKT Tanzania 0-4 Simba
Uwanja: Jamhuri
Zimeongezwa dakika 3
Dakika ya 88 Bernard Morrison anachezewa faulo
Dakika ya 87 Bwalya anachezewa faulo.
Dakika ya 62 Manula anaokoa hatari langoni 
Dakika 52 Goal Luis Miqussone 
Dakika ya 49 Sabato anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 48 Simba wanapeleka mashambulizi  JKT Tanzania 
Kipindi cha pili 
Mapumziko 

JKT Tanzania 0-3 Simba
Uwanja wa Jamhuri 

JKT Tanzania 0-3 Simba

Uwanja wa Jamhuri, Dodoma

Zinaongezwa 2
Dakika ya 45 zimekamilika
Kipindi cha Kwanza dakika ya 43 Kagere anapewa huduma ya Kwanza.

Kipindi cha Kwanza mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Simba, Uwanja wa Jamhuri.


Simba inaongoza kwa mabao 3-0 ikiwa ni kipindi cha Kwanza.


Mabao ya Simba yamefungwa Meddie Kagere dakika ya 5 ,40 na Chris Mugalu dakika ya 6.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic