November 22, 2020

 




UWANJA wa Mkapa

FT: Yanga 1:1 Namungo 


Mpira umekamilika Uwanja wa Mkapa kwa timu zote kugawana pointi mojamoja baada ya dakika 90 kukamilika.


Metacha Mnata kipa wa Yanga amekuwa ni shujaa baada ya kuokoa penaltii iliyopigwa na mshambuliaji namba moja wa Namungo mwenye mabao manne, Bigirimana Blaise dakika ya 90.

Novemba 22, mchezo wa Ligi Kuu Bara 

Kipindi cha pili

Dakika ya 90+2 Blaise anapiga penalti inaokolewa na Mnata

Dakika ya 90 Mwamnyeto analewa kadi ya njano

Dakika ya 80 Carlos Carinhos anapaisha faulo

Dakika ya 69 Shamte anaingia anatoka Miza law Namungo 

Dakika ya 68 Sarpong anapewa huduma ya kwanza

Dakika ya 67 Mabeki wa Namungo wanatibua mipango

Dakika ya 57 Carinhos anapiga shuti linaokolewa na Nahimana


Dakika ya 55 Farid Mussa anatoka anaingia Deus Kaseke

Dakika ya 54 Nahimana anaokoa

Dakika ya 53 Carinhos anachezewa faulo na Sey anaonyeshwa kadi ya njano

Dakika ya 51 Mnata anaokoa hatari 

Dakika ya 46 Hamis Mgunya anaonyeshwa kadi ya njano


Kipindi cha kwanza:-Yanga 1-1

Namungo

Mapumziko Uwanja wa Mkapa 

Zinaongezwa dakika 2

Dakika 45 zinakamilika

Dakika ya 44 Carlos Carinhos anapiga nje ya lango

Dakika ya 43 Blaise anapoteza pasi 

Dakika ya 41 Sey anapaisha nje kidogo ya 18

Dakika ya 40 Sarpong anachezewa faulo 

Dakika ya 37 Carlos Carinhos anapewa huduma ya kwanza

Dakika ya 33 Fei Toto anamchezea faulo Lukas Kikoti anapiga shuti linakwenda nje ya lango

Dakika ya 30 Yanga wanaanzisha faulo baada ya Lamine Moro kuchezewa na nyota wa Namungo 

Dakika ya 28 Namungo wanaanzisha faulo

Dakika ya 22 Tuisila anafanya jaribio ndani ya 18 halileti matunda

Dakika ya 21, Metacha Mnata anaokoa shuti la Bigirimama Blaise 

Dakika ya 16 Goaaal Namungo kupitia kwa Stephen Sey

Dakika ya 15 Edward Manyama anapiga mpira wa adhabu haizai matunda

Dakika ya 13, Goooooal Yanga kupitia kwa Carlos Carinhos kwa kichwa.

Dakika ya 9 mwamuzi anasema Bigirimama ameotea

Dakika ya 6 Carlos Carlinhos anapiga kona ya pili

Dakika ya 5 Michezo Sarpong anapiga off target ya kwanza

Dakika ya 3 Metacha anaanzisha mashambulizi

Dakika ya 2 Farid Mussa anapiga kona ya Kwanza kwa Yanga

15 COMMENTS:

  1. utopolo wakitoka salama wakatambike

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tutatoka kifua mbele na point tatu huku tukisubiri kicheko wiki ijayo

      Delete
  2. Eti Saleh Jembe anasema kocha wa Yanga naye ni mpya!Wakati keshafundisha mechi karibu 4 au tano na tuzo ya kocha bora kapata..Ndiyo mpya huyo?

    ReplyDelete
  3. hebu soma kule bado ngapi? na mnazidiwa magoli ya kufungwa 16.Nyie fungeni kamoja wakati wenzenu ni mwendo wa zaidi ya tatu!

    ReplyDelete
  4. Point 1 ni kubwa kuliko magoli 100, kwahiyo kwenye soka points ndio mpango mzima

    ReplyDelete
  5. Tangu Kaze ametua timu haina tofauti na ya Zlatko..Ki uhalisia Yanga inachofanya ni sawa na Yanga ile ya Zahera..Poleni zana bilioni moja na nusu zimepotea kwenye mtaro wa maji.Leo mmeponea chupuchupu...Na mechi iliyopita aliwaokoa refa...msijali kwani bahati mnayo kila siku

    ReplyDelete
  6. Pointi zinayeyuka. Jumatano watapoteza ointi tena. Azam wamepumzika diku moja extra na hasira za kufungwa. Lazima ajambe mtu.Leo chupuchupu mavi yaguse chupi.

    ReplyDelete
  7. mechi ya 3 hii sare...je na mechi ijayo ikiwa sare kocha atatimuliwa?

    ReplyDelete
  8. Yanga mta koma mna jifanya makonk wa game

    ReplyDelete
  9. Warundi Ni wabinafsi siku zote ndio maana kaigharimu team

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic