December 27, 2020

 


KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Miraji Athuman ambaye anatajwa kuwekwa kwenye rada za mabosi wa Namungo leo Desemba 27 anatimiza miaka 27 ya kuletwa duniani.


Msimu huu wa 2020/21 mambo yamekuwa magumu kwake kupata namba kikosi cha kwanza tofauti na msimu uliopita ambapo alikuwa na nafasi kikosi cha kwanza.


2019/20 alitupia mabao 7 na kutoa pasi moja ya bao majeraha ya mara kwa mara ni moja ya sababu iliyomtoa kwenye reli. Kwa msimu huu wa 2020/21 hajafanikiwa kutupia ndani ya Ligi Kuu Bara.


Huenda mipango ya Namungo ikijibu ya kumuhitaji nyota huyo kwa mkopo anaweza kuendeleza makali yake kwenye kikosi hicho kinachonolewa na Hemed Morroco.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic