January 23, 2021


 KLABU Bora Afrika kwa sasa,viwango vinatokana na matokeo ya timu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kuanzia 2017 hadi 2021.

Kwa maana hiyo kuna uwezekano mkubwa pointi zinaweza kupanda ama kushuka msimu huu mazima ikiwa timu itaboronga pointi zitashuka ama itafanya vizuri hapo pointi zitaongezeka.

Rekodi zipo namna hii kwa zile zilizo ndani ya 20 bora, Tanzania ipo pia:-


1. Al Ahly SC, Misri ina pointi 53

2. Esperance de Tunis, Tunisia ina pointi 50

3. Wydad CA, Morocco, ina pointi 48.

4. Zamalek SC,Misri ina pointi 42.

5. TP Mazembe, Congo pointi 40.

6. RS Berkane, Morroco,pointi 38.5

7. Mamelodi Sundowns, Afrika Kusini, pointi 36.

8. Horoya AC, Guinea, pointi 33.

9. Etoile du Sahel,Tunisia, pointi 31.

10. Raja AC, Morocco,pointi 29.

11. Al Hilal, Sudan, pointi 21.

12. AS Vita Club, Congo, pointi 21

13. Hasannia Agadir,Morroco, pointi 18.

14. Pyramids FC,Misri,pointi 16.

15. 1° de Agosto,Angola, pointi 16.

16. Petro de Lianda, Angola, pointi 14.5.

17. Simba SC, Tanzania ina pointi 14

18. Al Masry, Misri pointi 14.

18. Enyimba FC,Nigeria 14.

20. USM Algiers, Algeria pointi 12.

21 COMMENTS:

  1. samahani hawajaongelea nchi...Wameweka taarifa ya klabu...Kama una kinyongo timu yako haimo pole sana...
    Ulipaswa kuandika Simba ndani kwenye kichwa cha habari!Simba oyeee

    ReplyDelete
  2. Makanjanja wa Utopolo. Simba ikifanya vizuri ni Tanzania. Ikifungwa ni Simba .Ingekuwa Utopolo zingeandikwa makala 10 mbali mbali.Roho ya kwanini kwa hawa makanjanja inawatesa wao wenyewe.

    ReplyDelete
  3. Big up simba kwa kupeperusha vyema bendera ya Tanzania. Unastahili mnyama, you really deserve

    Naomba kuwasilisha

    ReplyDelete
  4. Mabingwa wa midomoni...kihistoria mapinduzi..
    kuna kombe lingine la mabingwa kuanzia jtano.mabingwa kumbe hata kwenye list ya mabingwa hawamo

    ReplyDelete
  5. Kwenye hili kweli Yanga tumezibwa midomo Hatuna cha kusema.

    ReplyDelete
  6. Utopolo wanatia huruma ndo maana wanavaliashwa pempasi, kazi kuongea tu uwanjani zero

    ReplyDelete
  7. kinachohitajika ni mapambano zaidi na si kuwaza comment za wadogo zetu utopolo

    ReplyDelete
  8. Cha msingi ni kufikiria michuano ya club Africa champion ijayo na sio kubweteka ili kujiweka kwenye record nzuri zaidi.

    ReplyDelete
  9. Hizo taarifa si sahihi,au chanzo cha taarifa kinawalaakini. Kwamujibu wa taarifa sahihi za viwango vya ubora wa soka kwa ngazi ya vilabu barani afrika kwa mwezi Desemba 2020, Simba ilikuwa nafasi ya 232 na Yanga ilikuwa nafasi ya 375.kwa taarfa sahihi ingia google ,achana na mitandao ya kijamii inayoripoti habari za ushabiki.

    ReplyDelete
  10. Big up to Simbaaaa,,,Nguvu mojaa💪🏾

    ReplyDelete
  11. Kwa taarifa kutoka African football database ya tarehe 17/01/2021 iliyotoa viwango vya ubora wa soka africa ngazi ya vilabu Simba sports club ya Tanzania ipo nafasi ya 269 na Dar Young Africa ipo nafasi ya 377. Hiyo ndiyo taarifa sahihi kutoka caf africa football database.ipo wazi kwa mtu yoyote kupata taarifa yoyote ya soka barani africa.Acheni ushabiki, someni mpate kujua taarifa za vilabu vyenu.

    ReplyDelete
  12. Yanga watawakilisha kwenye sauti za busara zanzibar

    ReplyDelete
  13. Simba Oyeeeh , hadi top 3 tutafika tuu. Endeleeni kupambana Vijana, wa Tanzania, tunawaamini.!

    ReplyDelete
  14. I belief that one day simba fc will overtake first position in Africa

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic