January 20, 2021

11 COMMENTS:

  1. Nani siku hizi anaangalia kalenda labda zikagaiwe kwenye shule za vijijini

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sawa, inaweza ikawa ni kweli haiangaliwi lakin inatumika kama pambo tu. Kw mfano, mbona saa siku hiz hazina kazi, lakin watu wanavaa tu Kama pambo, akitaka kujua muda anaangalia kwenye simu

      Delete
  2. Acha wivu wewe paka fc

    ReplyDelete
  3. Pelekeni Kintinku huko labda watanunua

    ReplyDelete
  4. Shida ile ile athari za viroba na bangi haziishagi Sasa wewe mbumbu wa Rage Kalenda umelengwa wewe?tutanunua tumeipenda wenyewe Tena mie nanunua 10

    ReplyDelete
  5. Hata mimi nitakwenda kununua kadhaa... achana na watu wachovu na wenye wivu... mikia aka paka mweusi

    ReplyDelete
  6. Ili biashara ifanikiwe unatakiwa kusoma mazingira yaani ufanye environmental scanning.Kalenda bado zinahitajika kwa kiasi kikubwa kwenye karne hii ya sayansi na teknolojia? Simu 90% zina kalenda na saa ndio maana hata wavaaji wa SAA za mkononi wamepungua. Tutaomba tu mrejesho zimeuzwa ngapi.

    ReplyDelete
  7. SENZO kawaingiza chaka

    ReplyDelete
  8. Ama kwel mwaka huu yanga amekua msaad mkubwa kwa simba,,,,, alianza kutengeneza jezi zeny raman ya afrika il smba iitumie kusafr kwend kmataifa, sahv wametengeneza kalenda il simba waitumie wasije kusahau ratiba ya mechi zao kmataifa!!! Hongera yanga!

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic