MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo wana kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Biashara United, Wanajeshi wa mpakani, Uwanja wa Karume, Mara.
Kwa mujibu wa Spoti Xtra Alhamisi hiki hapa kikosi cha Simba kinachotarajiwa kuanza chini ya Didier Gomse:-
Aishi Manula
Shomari Kapombe
Mohamed Hussein
Kened Juma
Pascal Wawa
Thadeo Lwanga
Clatous Chama
Meddie Kagere
Rarry Bwalya
Bernard Morrison
Luis Miquissone
Hao akina kennedy na Bwalya si waluaema wamebaki congo, sasa wewe unaotea wanaanza vipi, au sikuelewa ile taarifa ya jana ya manara?
ReplyDeleteJitahidi kuwa na uhakika na unachoandika kwani sisi wafuatiliaji wako tuko makini na timu yetu na tunajua kinachoendelea hivyo hatudanganyiki hovyo kama unavyo tarajia.
ReplyDeleteAmeandika kikosi kinachotarajiwa kuanza na wala si kikosi kilichotangazwa na benchi la ufundi
ReplyDeletembona timu yako iliyocheza jana haukuweka kikosi kinachotarajiwa
ReplyDeleteAnataka watu waanze kuweka midumari mapenaaa
ReplyDeleteMisumari
ReplyDelete