ALIYEKUWA kocha msaidizi wa kikosi cha klabu ya Yanga, Juma Mwambusi amesema kuwa kwa sasa yupo fiti kurejea ndani ya kikosi hicho, hii ni baada ya kufanyiwa upasuaji wa jino.
Mwezi mmoja uliopita, Mwambusi alitangaza
kujiuzulu wadhifa wake ndani ya kikosi cha klabu ya Yanga, hii ni baada ya
kushauriwa na daktari kutokana na kuwa na matatizo hayo ya kiafya ambapo nafasi
yake ilichukuliwa na Nizar Khalfan.
Akizungumzia maendeleo yake Mwambusi
amesema: “Tayari nimepata matibabu ya jino, na ni kama wiki mbili zimepita
tangu nifanyiwe upasuaji, naendelea vizuri na sina maumivu kama ilivyokuwa
mwanzo.
“Wanamichezo waniombee nipone ili
niweze kurejea katika majukumu yangu kama ilivyokuwa awali, na endapo
nitakuwa sawa basi naweza kurejea Yanga”
Aseme ukweli nini kilimtoa hapo na sasa anataka kurejea ktk nafasi ipi ili hali ilishajazwa?
ReplyDeleteKweupe Kweupe nataka kumtowa Nizar tonge kinywani
ReplyDeleteNizar haondoki... Karibu tena Mwambusi muda c mrefu utakuwa kocha mkuu
ReplyDeletePicha la kihindi hilo
ReplyDeleteUkweli timu imeyumba toka Mwambusi aondoke Yanga.Mwambushi ni mzuri Sana kwenye mbinu za kutafuta ushindi uwanjani.Timu inakuwa ina cheza kwa malengo kabisa.
ReplyDeleteTeam has swayed badly since Mwambusi left the team.We need him back soon as possible.
ReplyDeleteTruly Yanga has swayed badly since Mwambusi left the team.We want him back to make our team strong tactically.
ReplyDeleteYakale Ni dhahabu kumekucha kidimbwini, yetu Niš„ wao tunaqatazamaš³š³š³wanatuchezaa movie
ReplyDeleteNa leo kwa Mkapa Mnyama atanguruma tena, tegeni masikio
ReplyDelete