LEO Didier Gomes, Kocha Mkuu wa Simba ataongoza kikosi chake kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania, Uwanja wa Mkapa, saa 1:00 usiku.
Hiki hapa kikosi cha Simba kitakachoanza leo Machi, Mosi:-
Aishi Manula
Shomari Kapombe
Tshabalala
Nyoni
Wawa
Keneddy Juma
Chama
Lwanga
Mugalu
Mzamiru
Luis
Mbona kama kocha ametutania?
ReplyDeleteSisi hayatuhusu hayo
DeleteKikosi kipana kina zake kwa kocha.Gomes kabaini kuna wachezaji simba wanauwezo mkubwa wakicheza nafasi tofauti na atafanikiwa sana
DeleteKweli hayawahusu
ReplyDeleteNguruwe fc mpigwe 1-0
ReplyDeleteKaribuni Sana wageni waalikwa Vyura FC 🐸🐸
DeleteHatuna kocha hapo ni kama morinyo anayependa kujilinda
ReplyDeleteV
ReplyDeleteHapo hatuna kocha IPO siku mtanielewa wanamsimbazi
ReplyDeleteKwa hiyo ushindi wa AS Vita na Al Ahly hausiki?
DeleteHuyo siyo Mnyama ni utopolo achana nae
DeleteKocha hajilindi isipokuwa Simba hatuna beki ya Kati ya kueleweka ndo maana tunalazimika kutumia kiungo mwenye nguvu kijana.
ReplyDeletehahahahahahahahahaaaa gomes bhana
ReplyDeleteKwahiyo leo hii mnasema hamna kocha,,,tena hakuna believe,,,duuu gomes anaangalia na mechi ijayo ya el merreck,,,wakiumia je tena mnaanza kulia mkifungwa
ReplyDeleteAnayelalamika ni Utopolo. Hakuna mwanasimba anayeweza kulalamika wakati huu.Mpira unaonekana. Magoli yanafungwa na clean sheet za maana.
ReplyDelete