April 28, 2021

CLEOPHANCE Mkandala, kiungo mshambuliaji wa kikosi cha Dodoma Jiji kinachonolewa na Kocha Mkuu, Mbwana Makata amesema kuwa walikuwa wanahitaji kupata pointi tatu ila walikwama kutokana na kuzidiwa mbinu.
 Amebainisha kwamba kuifunga Simba kwenye mechi mbili walipokutana Uwanja wa Jamhuri wakati ubao ukisoma Dodoma Jiji 1-2 Simba  na jana ubao kusoma Simba 3-1 Dodoma Jiji kwa Mkapa kwake ni furaha. 

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic