June 9, 2021

 


LAMECK Nyambaya leo Juni 9 amechukua fomu za kugombea nafasi ya Kamati ya Utendaji ndani ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF).


Nyambaya ni Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam, (DRFA).


Aliambatana na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya DRFA ambaye ni mchambuzi wa soka, Shaffih Dauda aliyevaa miwani pichani.

Zoezi la utoaji fomu kwa wagombea uongozi TFF lilianza hana Juni 8 ambapo uchaguzi unatarajiwa kufanyika Agosti 7, 2021.

Fomu kwa wagombea inapatikana kupitia tovuti ya TFF na mwisho wa kuchukua na kurejesha fomu ni Juni 12 saa 10 jioni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic