VIDEO: OBREY CHIRWA MBALI NA MPIRA ANALIMA MATIKITI
MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina, Obrey Chirwa amesema kuwa mbali na mpira amewekeza kwenye kilimo jambo ambalo limekuwa likimsaidia pia ambapo amesema kuwa analima nyanya, tikiti na karoti.
Safi sana,ndugu zetu wa Kitanzania wanachojua ni kuvuta sigara bwege na kusokota nywele wala hawana mawazo ya kuwekeza vitega uchumi matokeo yake mpira ukiisha wanaishia kusumbua watu kwa kupiga mizinga
ReplyDelete