Mketo amesema kuwa wanawaheshimu wapinzani wao Simba ila watapambana kwa ajili ya kupata matokeo chanya.
Seleman Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa mchezo wa kesho hautakuwa rahisi mbele ya Polisi Tanzania ila watapambana kupata matokeo kwenye mchezo huo utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba.
Matola amesema kuwa Clatous Chama na Ibrahim Ajibu naye watakosekana kesho kwa kuwa wana matatizo ya kifamilia.
Simba hatishwi na mikwara, wawaulize ruvu na wengine wanakimbia kimbia
ReplyDelete