June 11, 2021


SERIKALI kupitia kwa Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba imetaja kuwa miongoni mwa sababu ambazo zinafanya timu nyingi kushindwa kupata matokeo mazuri ikiwa ni pamoja na Yanga ni ubovu wa viwanja vya mikoani jambo ambalo linawafanya wapate tabu.
 
Kupitia bajeti iliyowasilishwa jana, Juni 10 Nchemba ameomba Serikali iweze kutoa punguzo katika gharama ya nyasi bandia. 

 

8 COMMENTS:

  1. Kwani yanga viwanja hivyo vibovu anacheza peke yake?

    ReplyDelete
  2. Hakusema ni Yanga peke yake "read between lines"

    ReplyDelete
  3. Jana The. Waziri Mwigulu aliitaja Yanga wala hakugusia timu nyingine yoyote

    ReplyDelete
  4. Tunazungumzia kilichoandikwa hapo juu na sio kilichosemwa

    ReplyDelete
  5. Tatizo watu wanasima juujuu tu, point ya msingi viwanja vibovu ndio sababu ya matokeo mabovu.

    ReplyDelete
  6. Alisema timu pendwa ya yanga, mbona unataka kuleta ubishi wa bure?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic