VIDEO: TAZAMA UFUNDI WA NYOTA DJUMA AMBAYE AMEMALIZANA NA YANGA TAZAMA ufundi wa nyota mpya ambaye inaelezwa kuwa amemalizana na Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi. Yeye ni beki anaitwa Djuma Shaban kutoka AS Vita ya Congo.
Usiseme amemalizana na yanga,bado hajasaini mkataba wowote.Naona kila siku hii taarifa unaandika siku ikitokea hajasaini sijui utasemaje.
ReplyDeleteEti imeelezwa, imeelezwa na Nani?? Acheni kutufanya wajinga
ReplyDeleteMaana hata yanga nao wana mfumo wa utoaji habar na yanga hawajasema cjochote wandsh mnapamba habar yenu kula mb zetu
Deletemchezaji akichezea yanga tu akiondoka kwa kushindwana maslai ujue mpira wake umekufa
ReplyDeleteMwandishi mwogope Mungu ,lkn Usimba una kubana huyo Mchezaji amesajiliwa Simba lkn unaiweka Yanga Hili Mo azidi kukupa kazi na Simba yako
ReplyDeleteWE UNA USHAHIDI GANI KAMA SIMBA WAMEMSAJILI DJUMA?
DeleteHizi zote porojo blog ipate viewers wengi. Hamna lolote
ReplyDelete