BREAKING: Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, leo Julai 13 imetangaza siku rasmi ya Simba kukabidhiwa ubingwa wao walioutwaa msimu wa 2020/21.
Tarehe ambayo itafanyika sherehe hiyo ni Julai 18 Uwanja wa Mkapa Simba inatarajia kucheza na Namungo FC.
Taarifa hiyo imeeleza ;-
Matopolo siku hiyo watajifungia ndani kwasababu wakijitokeza watapambana na changamoto. Ni mkuaibika kwakuwa waliahidi ubingwa na makonbe yote. Ni jambo jema kukabidhi ubingwa tarehe 25 ili tarehe 25 liwepo pale uwanjani Matopolo wakishuhudia Mnyama akikabidhiwa makombe mawili
ReplyDeleteKwa hiyo tulivyoambiwa kuwa ubingwa tutapewa sisi kwa kuwa timeahinda kesi kumbe tulidanganywa!!
ReplyDeleteHilo ni tatizo jengine la viongozi wetu Yanga. Mnstudanganya sana. Nugaz ni juzi tu alisema ubingwa ni wetu. Yaani mnatufedhehesha
ReplyDeleteKutojua siasa za mpira ni tatizo kwa mashabiki wengi. Mlitaka Nugaz aseme Yanga itashuka daraja au?
DeleteIle tarehe ya hukmu ya kesi ya Morrison ni 22/7/2021. kwa hiyo mengine Yanga wanategemea siku hiyo kupata tumaini lolote la kupewa ubingwa endapo itatokea Simba ananyang'anywa point. Ndio maana Bumbuli alisema Yanga atakuwa bingwa alipoulizwa kivipi, akasema aulizwe swali hilo tarehe 23/7/2021
ReplyDeleteWadanganyaji na wadanganywaji wanaelewana sana. Hivi wanaamini maneno ya Le grand Utopolo NUGAS kwamba watachukua ubingwa. Wanajitekenya na kujichekesha wenyiewe.
ReplyDeleteUtopolo zero
ReplyDeleteMmmm nam
ReplyDelete