July 28, 2021

8 COMMENTS:

  1. Kila la kheri ktk bonanza au ndondo iliyochangamka, mnachosha wachezaji bure tuu hakuna cha maana hapo wajanja walitaka kupiga hela kwa mgongo wa simba na yanga ila sasa wameula wachuya. Hawatawaona hata watoto wa mitaani huko viwanjani hata ikiwa hakuna kiingilio.

    ReplyDelete
  2. Mashindano yanafanyikia wap

    ReplyDelete
  3. Wache wapumzike kazi walioyafanya ya kuzoa makombe ilikuwa ngumu sana kwa muda wa misimu mine mfululizo. Wapumzike kujitayarisha kwa misimu ijayo iwe ya heshima na kuonesha kuwa si mabingwa wa bahati lakini wakustahiki na siyasa ileile ya kutokuropokwa na kulalamika kwa kila kitu

    ReplyDelete
  4. Mashindano yanqfanyika hapa dar

    ReplyDelete
  5. Afadhali tumejiondoa mitimu mingine humo inakamia sana badala ya kucheza soka la kuvutia wanacheza judo na karate mwishowe watatuumizia wachezaji wetu waliozoea kimataifa soka la soft touch,asikwambie mtu Simba raha,simba next level.

    ReplyDelete
  6. Next level gan wanakimbia michezo ya kimataifa?
    Hii ilikua sehemu nzuri ya kujipima na team za nje

    ReplyDelete
  7. Mbona wao walianzisha kombe la mbuzi la team 3, we ulisikia wapi mfungaji bora ilikua na magoli mawili(2)?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic