July 18, 2021


LEO Juni 18, kwenye viwanja tofauti inapigwa michezo ya mwisho kukamilisha mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kwa sasa kwa timu zote ni mapumziko baada ya dakika 45 za awali kumeguka na timu kupata kile ambacho wamekivuna ndani ya uwanja.

Ni dakika 45 ambazo zimebaki kufanya maamuzi kwa timu ambazo zinapambana kusaka nafasi ya kubaki ndani ya ligi.

Matokeo yapo namna hii:-

Ruvu Shooting 0-0 Azam FC

Mbeya City 2-0 Biashara United

JKT Tanzania 1-0 Mtibwa Sugar

Simba 2-0 Namungo

Dodoma Jiji 0-0 Yanga

Coastal Union 2-1 Kagera Sugar

KMC 0-0 Ihefu

Tanzania Prisons 0-0 Gwambina

Polisi Tanzania 0-0 Mwadui

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic