July 13, 2021


 SIMBA Queens leo imekabidhiwa ubingwa wa Ligi ya Wanawake Tanzania kwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Twiga Stars.

Mchezo wa leo ambao umechezwa Uwanja wa Uhuru, ubao ulikamilika kwa kusoma Simba Queens 1-2 Twiga Stars.

Chini ya Kocha Mkuu, Mussa Mgosi, Simba Queens imetwaa ubingwa wake wa pili ndani ya Ligi ya Wanawake Tanzania ambayo imekuwa na ushindani mkubwa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic