July 16, 2021


SIMULIZI ya wezi waliowapa tabu Polisi namna walivyokamatwa 

Wizi unarudisha wale wenye bidii chini kwa kiwango kikubwa, hivyo basi tunapaswa kuwa waangalifu mno, kuweza kuilinda mali yetu dhidi ya vitendo vya wizi, kwangu kwa mfano nimeweza kuipoteza mali nyingi, inayogharimu pesa nyingi kwa mikono ya wezi, jambo hilo limeweza kunirudisha nyuma kimaendeleo, yote hayo yaliponichosha niliamua kutafuta usaidizi wa kulinda boma kwa madaktari wa kiasili “kiwanga doctors”

Kwa wakati mmoja niliweza kuibiwa kwenye duka langu la kibiashara bidhaa zote nilizokuwa nimeagiza kuuza, na hela takriban shilingi laki mia tano, jambo ambalo lilinirudisha nyuma kwa kiwango kikubwa, hivyo ilinilazimu kuweza kufunga biashara zangu ghafla kwa kukosa hela za kuwezesha biashara hiyo kuendelea.

 Jambo hilo liliniuma sana, na kwa kuwa siikuwa na uwezo wa kuwapata wahuni hao na kuwaadhibu wahuni hao, niliweza kuenda katika kituo cha polisi kuweza kuripoti kisa hicho ili kuwezeshwa kupata bidhaa zangu zilizoibwa, ni mwaka moja sasa, hakuna yeyote aliyenaswa kwa wizi huo na kila wakati ninapokitembelea kituo hicho cha polisi huwa napewa ahadi kuwa wako mbioni kuweza kuwanasa majambazi hao.

 Ninachoshidwa kuelewa ni kuwa jinsi yote hayo maafisa wa polisi wamefanya kwa mwaka mmoja na kushindwa kuwanasa niaje sasa wangenaswa.

Katika mtaa ninaoishi katika kitongoji duni cha Kibera jiijini Nairobi visa vya wizi vimekua vimekithiri kwa kiwango kikubwa, kila siku kisa cha wizi, uwe ule wa mabavu au ule wa kulaghaiwa vimekua vimekithiri kila uchao hivyo, watu wamekuwa wakilalama kila uchao kwa kukosa kupata haki.

 Ninapozungumzia neno haki, namaanisha jinsi majambazi hao wangeweza kunaswa na kuweza kushtakiwa katika mahakama kwa vitendo hivyo vya uhuni, tumeweza kuwasilisha lawama zetu kwa Ofisa Mkuu wa usalama katika eneo hilo lakini hamna lolote lile amewahi kufanya kuonyesha bidii katika majukumu yake ya usalama, tulichohitaji kutoka kwake ni hakikisho kuwa angepambana na visa hivyohadi kuzimaliza.

Pia kuweza kutupa hakikisho la kuweza kutupa usalama katika mtaa huo, yote hayo hayakuwahi fanyika mambo yalikuwa jinsi yalivyokuwa visa vya wizi vikiendelea kama kawaida, na kupoteza tumaini la biashara kabisa, siku moja rafiki yangu aliponitembelea na kuona masahibu niliyokuwa nayo aliniarifu kuhusu kiwanga doctors, waliokuwa na uwezo wa kukinga biashara yako kutokana na vitendo vya wizi, hivyo nilifanya hima na kuweza kukutana na madaktari hao wa kiasili na kuweza kuwaeleza yote, walinipa hakikisho la kuweza kukinga eneo langu la biashara dhidi ya wizi, hivyo daktari huyo aliweza kulitembelea eneo hilo na kuniarifu kuwa yote yangekuwa shwari kabisa.

 Wiki moja baadaye niliweza kuwanasa wezi wawili waliokuwa na jaribio la kutaka kuiba ikiwa wamechanganyikiwa na kulala usingizi katika jumba langu la kibiashara, niliweza kuwapigia polisi simu, waliowasili na kuwakamata, toka hiyo siku hakuna kisa chochote cha wizi kimewahi tokea katika eneo langu la kibiashara, nawapa kongole “Kiwanga doctors” kwa kuweza kukinga eneo langu la biashara dhidi ya visa vya wizi.

 Pia wanatibu magonjwa kama kifafa, kifua kikuu  na magonjwa mengine sugu, kwa upande mwingine wanatatua matatizo ya ndoa na mapenzi na mengine watembelee leo uweze kupata usaidizi wa chochote kile kinachokusumbua.

Kwa mengi tembelea wavuti www.kiwangadoctors.com ama waweza kutuam barua pepe kwa kiwangadoctors@gmail.com pia waweza kumpigia simu kwa nambari nambari+254 769404965.

2 COMMENTS:

  1. Habarini ndugu zangu;
    Nimekuwa nikisoma hapa kwa muda sasa, hizi makala zinanzoanza kama hadithi ya kusisimua halafu mwishoni zinaishia na anuani ya watu wanaitwa Kiwanga Doctors wakijitangaza na dawa zao za kinga dhidi ya majambazi, kufanikiwa katika kazi, biashara, kuondoa mikosi, n.k.

    Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo Blog maarufu ya michezo inayomilikiwa na mwana habari maarufu, msomi mzuri na mtu mwenye weledi mkubwa wa mambo ambaye wengi wetu tunampenda na ndio maana tunatembelea Blog yake kila siku halafu anawezaje kutukosea adabu kwa kiwango hichi na kutuletea taarifa ambazo hazina uhusiano kabisa na mambo ya michezo ambazo ukizitafakari kiini chake unaona wazi kwamba ni mambo ya KISHIRIKINA, TUNGULI, MAZINGAOMBWE, UGANGA UGANGA TU, RAMLI, n.k. Haya ni mambo ya ajabu ajabu ambayo yanatukwaza wengi katika IMANI zetu ambayo hayapaswi kuletwa humu kwenye Blog makini ya michezo inayotembelewa pia na wasomi wengi. Haya mambo ya kizamani hayapaswi kabisa kupigiwa promo katika blog makini kama hii hususani katika karne hii ya 21 ya maendeleo makubwa ya Sayansi na Teknolojia na katika kizazi hichi cha kidijitali cha Millenia ambacho kinaongozwa zaidi na teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA). Naomba tuachane na haya mambo ya ramli ramli. Mafanikio hayatokani na uganga uganga. mafanikio ni matokeo ya kufanya kazi/biashara kwa juhudi na maarifa, kusaidia wenye mahitaji, nidhamu, kutokata tamaa, uaminifu na mahusiano mema na wengine. Hiyo ndiyo siri ya mafanikio na sio uganga uganga na janja janja za kizamani. Afya njema na usalama wa mtu ni matokeo ya umakini wake, uangalifu katika mtindo wa maisha, kufanya mazoezi na lishe bora, kufanya ibada kwa Mungu na kuwa na mahusiano mema na binadamu wenzanko na wala huwezi kupata usalama wa kweli kwa kuetegemea ndumba na uganga uganga. Nyie akina Kiwanga Doctors acheni upuuzi wenu. Tupo katika zama za maendeleo makubwa ambayo taarifa nyingi muhimu mtu huzipata kiganjani tu kwa njia ya teknolojia. Msiturejeshe katika zama za kale za mawe ambapo mababu walitegemea matambiko.

    Namuomba Mwenyezi Mungu ambaye ndiye tegemeo letu ambaye ndiye anatupatia afya njema na uzima, akili, utashi, busara, maarifa na unyofu wa moyo awasaidieni Kiwanga Doctors kutambua tunu zake njema na za kweli na kuwaokoa kutoka katika upotoshaji wa viumbe wake. Amiin. Amiin.

    NAWASILISHA.

    ReplyDelete
  2. Yeye mwenyewe huenda ndio huyo Dokta

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic