July 6, 2021

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa kesho wataingia kwa mpango tofauti kusaka pointi tatu mbele ya KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. 

Simba inaingia uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga, Julai 3, Uwanja wa Mkapa. Matola amesema kuwa haitakuwa rahisi kupata matokeo kesho mbele ya KMC ila watapambana ili kufikia lengo lao la kutwaa ubingwa mapema.

 

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic