July 16, 2021

ERASTO Nyoni, kiraka wa Simba amesema kuwa Azam FC ni timu nzuri na Simba ni timu nzuri zaidi,huku akiweka wazi kuwa wapinzani wao Azam FC walijiandaa kupata matokeo jambo ambalo lilifanya mchezo huo uwe na ushindani.

Julai 15, ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 1-1 Simba. Kuelekea kwenye mchezo wao wa Jumapili dhidi ya Namungo FC amewaomba mashabiki wajitokeze kwa wingi.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic