July 25, 2021

 


NYOTA wanne waliokuwa wanakipiga ndani ya Azam FC sasa ni ruksa kujiunga na timu yoyote bure baada ya kutopewa madili mapya ndani ya Azam FC na sasa wapo huru.


Mpiana Monzinzi ambaye alikuwa mshambuliaji ndani ya kikosi cha Azam FC ilikuwa ni ingizo jipya sawa  na kiungo Ally Niyonzima. 


Wengine ni mshambuliaji Obrey Chirwa ambaye alijiunga na Azam FC 2018 pamoja na beki Yakub Mohamed alikuwepo ndani ya Azam FC tangu 2016.


Kwa sasa nyota hawa wanne wanaweza kujiunga na timu yoyote Bongo kwa kuwa hawajapewa madili mapya ndani ya Azam FC.


Taarifa rasmi ambayo imetolewa na Azam FC imeeleza kuwa wamefikia makubaliano kwa pande zote mbili na kufikia makubaliano ya kila mmoja kuendelea na michongo yake.

8 COMMENTS:

  1. Haya sasa Utopolo majembe hayo mshindwe wenyewe

    ReplyDelete
    Replies
    1. Baadhi ya hao wachezaji sio magarasa kama mitazamo ya watu wengi ilivyo,ni wachezaji wenye uwezo mkubwa tu ili mradi wapate muda mwingi wa kucheza,nina imani Alli Niyonzima na Mpiana Monzinzi bado uwezo wao ni mkubwa tu

      Delete
    2. Mikia ya kenge

      Delete
    3. Kama mkia unaoning'inia matakoni kwako

      Delete
  2. Coastal iwachukue hawa wachezaji wakasaidie kuwapa support vijana maana ni timu kubwa na yenye uwezo wa kuwakimu hawa wachezaji iwapo tu itaamua kujipanga maana kama wameonesha wanaweza kufanya jambo katika kupambana kuepuka kushuka daraja basi wanaweza pia katika kuiendesha timu ikiwa ligi kuu tatizo ni kukosa hamasa baina ya viongozi,wanachama na wadau wengine

    ReplyDelete
    Replies
    1. Coach ypo sahihi hawana jmbo nw timu inahtaji kufnya makubwa zaid

      Delete
  3. Usjli wakina ufnyike wtu wakaz waletweee mashabiki tufrahie nasie azam sio timu ndgo pesa itumike

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic