BREAKING: UONGOZI wa Simba umemtambulisha Hitimana Thiery, kuwa kocha msaidizi wa timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika.
Taarifa ambayo imetolewa leo kupitia ukurasa wa Instagram wa Simba umeeleza kuwa unahitaji kufika mbali katika mashindano ya kimataifa.
Atafanya kazi kwa ushirikiano na Kocha Mkuu wa sasa Didier Gomes ambaye ni raia wa Ufaransa.
Hitimana ambaye ni raia wa Rwanda aliwahi kuifundisha Namungo FC pamoja na timu ya Mtibwa Sugar.
Huyo ndo kocha mkuuu
ReplyDeleteBonge la kocha Simba wana jicho la kuona ila nalia na mtibwa ningetamani abakie Mtibwa sugar. Huyu ni kocha hasa sio blah blah na ni mtaalam wa soka la Bongo kama alifanya makubwa na bajeti finyu kule Namungo hapa Simba ataua Sana.. Kazi njema THIERY,Simba wamechelewa kuingiza kwenye kikosi la sivyo champion league iliopita wangefikia malengo yao ya nusu fainali.
DeleteKaribu sana coach, uungane na mabingwa wa nchi, wana lunyasi, pira biriani...mpira wa kuvutia na ubingwa kama kawaida yetu
ReplyDeleteMaskini maloko
ReplyDeleteMADENI, FIFA, ITC, CAS n.k
DeleteHuyo ni kocha muaminifu na sio wale wanaouza timu zao
ReplyDeleteMatola au gomes out yup
ReplyDeleteWOTE WATAENDELEA KUWEPO
DeleteNakaribisha Club ya viwango japo cjajua kuhusu waliopo mmoja ataondoka ama lah! Ni nguvu moja katika kuimarisha kikosi.
ReplyDeleteGomes yupo bado huyu Thiery ni msaidizi ili aweze kusimamia benchi la timu kwenye gemu za CAF wakati Gomes akiendelea kukamilisha mafunzo yake. Nduyo sababu Kamwaga amethibitisha hadi January 2022 Gomes atakuwa ameshakamilisha kozi
DeleteTatizo wengine ni MEMKWA
ReplyDeleteSimba tamu sana ni viwango vya halo ya juu
ReplyDeleteGomes ana vyeti feki
DeleteYuko poa...Safi sana
ReplyDeleteVyeti feki wewe nodo unavyo
ReplyDeleteSwawa
ReplyDelete