September 28, 2021

 


CLEOPHANCE Mkandala, kiungo ndani ya kikosi cha Dodoma Jiji amekuwa wa kwanza kupachika bao ndani ya timu hiyo.


Ni dakika ya 34 nyota huyo amepachika bao la ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. 

Ruvu Shooting wametulizwa na Dodoma Jiji leo na kuyeyusha pointi tatu mazima.

Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ukiwa ni wa kwanza kwa timu hizi ndani ya msimu mpya wa 2021/22.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic