KLABU ya Simba leo Septemba 24 imesaini dili la miaka minne na kampuni ya Africacarriers wenye thamani ya shilingi milioni 800.
Kupitia dili hilo refu mdhamini ametoa magari matatu ambapo moja ni kwa timu ya Wanaume, moja kwa Simba Queens pamoja na jingine kwa ajili ya U 17
Ni Mtendaji Mkuu wa Simba Barbara Gonzalez ambaye amesaini kwa upande wa Simba na Zain Pirhai kwa upande wa wadhamini.








Simba vitendo zaidi wengine blah blah nyingi zaidi, Asante Barbara.
ReplyDeleteWapigana vikumbo kushirikiana na Simba kwakuwa timu yenye malengo nana kuaminika
ReplyDeleteHongera sana Uongozi wa Simba kwa ubunifu mzuri. Tunawapongeza na tunaendelea kuwa Simba.
ReplyDelete