September 20, 2021

 


KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Septemba 20 kimewasili salama katika ardhi ya Tanzania kikitokea nchini Nigeria.

Mabingwa hao mara 27 wa Ligi Kuu Tanzania Bara walikuwa wakipambana kwa ajili ya kupeperusha bendera kimataifa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

Deni lao kubwa ilikuwa ni kwenye kupindua meza kibabe mbele ya Rivers United kwa sababu katika mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 0-1 Rivers United hivyo walitakiwa kushinda mabao zaidi ya mawili.

Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Rivers United pia jana na mchezo ulipokamilika walianza safari kurudi Tanzania. 


Ni Shirika la Ndege la Tanzania walitumia ndege bora na wameweza kurudi salama Tanzania leo Septemba 20.

9 COMMENTS:

  1. "Mabengwa hao mara 27" ndicho na kilichobakia na tunangoja visingizio visivo mashikii

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ni Bora YANGA iache kujitamkia Sifa za Ubingwa Kama Tukuyu Stars. Wacheze sasa Na kuchukua Ubingwa !
      SIMBA Ni Bingwa mtetezi Mwaka 2021/2022

      Delete
  2. Tujipange upya tutaimarika tu! daima mbele nyuma mwiko.

    ReplyDelete
  3. Kuna jitu lilitanda lakini mungu sio, athumani ikabidi lipewe cha moto

    ReplyDelete
  4. Yanga alishapoteza kwa mkapa kule kugumu

    ReplyDelete
  5. NAMUNGO Na BIASHARA UNITED NI BORA KULIKO YANGA

    ReplyDelete
  6. Leo nimepata TAARIFA KUWA TIMU INAYOSTAHILI KUITWA MABINGWA WA KIHISTORIA NI TUKUYU STARS KWASABABU WALIPANDA DARAJA NA KUCHUKUA UBINGWA NA REKODI HIYO HAIJAWAHI KUVUNJWA MPAKA SASA !

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mbona mnaropoka sana, zungumzieni kuhusu tiktaka kwa mkapa, etiii! Kwa mkapa hatoki mtuuuu

      Delete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic