BASI jipya la kisasa la Azam FC kwa sasa lipo Mbeya taratibu likiwa njiani kuibukia Dar es Salaam.
Ndinga hiyo mpya ambayo ni moja ya basi matata ni kwa ajili ya matumizi ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina kwa msimu mpya wa 2021/22.
watu wanataka mafanikio ya mataji sui magari qumanina nyie
ReplyDeleteAzam acheni siasa za mpira za nnje ya uwanja wekezeni nguvu kubwa ndani ya uwanja kwa kupambana kupata ubingwa wa ligi kuu tz bara pamoja na kufika mbali kwenye kombe la shirikisho ikiwezekana kuchukua ubingwa..
ReplyDeleteKutumia muda mwingi kulitangaza bus lenu ni jambo la kujidumaza kiakili na matumizi mabaya ya muda ni vitu vya kishamba kabisa.
Team ina kila kitu lkn bado hampo tayari kuiletea club maendeleo.
Sasa Kama AZAM itachukua Kombe SIMBA itabaki Na nini ???
Delete