October 10, 2021


KIKOSI cha Simba kikiwa kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana katika mazoezi ya Uwanja wa Boko wachezaji waliendelea kuwa na utani huku beki Pascal Wawa akionekana kuzinguana kimtindo na kiungo Jonas Mkude pamoja na Bernard Morrison.

 Wachezaji hao walikuwa katika mazoezi kisha wakaanza kupigana mikwara ya hapa na pale kisha maisha yakaendelea kama kawaida.
 
Kwa upande wa nyota Pape Sakho na Chris Mugalu hawa walikuwa wamepewa program yao peke yao kwa kupewa jukumu kwanza la kukimbia pamoja na mazoezi mengine ili waweze kuwa fiti. Simba inatarajiwa kumenyana na Jwaneng Galaxy Oktoba 17 na itaanzia ugenini.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic