September 16, 2014

 Mabingwa wa England, Manchester City wamezianika jezi zao mpya ambazo zitakuwa na rangi ya zambarau.

Jezi zenye rangi hiyo kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara zinatumiwa na wababe wa Nyanda za Juu Kusini, Mbeya City ambao msimu uliopita walishika nafasi ya tatu.
Man City watakuwa wanazitumia jezi hizo katika mechi za ugenini huku nyumbani wakiendelea kung’ara na uzi wao wa bluu bahari.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic