April 16, 2015


Luis Suarez amefunga mabao mawili wakati Barcelona ikiichapa PSG kwa mabao 3-1.

Bao la kwanza lilifungwa na Neymar, Suarez akafunga la pili ambalo likawa la 1,000 kabla ya kufunga tena ambalo limekuwa bao la 1,001.

Pamoja na kufikisha mabao hayo, Barcelona inaendelea kubaki katika nafasi ya pili kwa kuwa Real Madrid ndiyo inayoongoza kwa kuwa na mabao 1,016.

WENYE MABAO MENGI ULAYA
Real Madrid  1,016
Barcelona      1,001
Bayern            823
Juventus         748

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic