March 18, 2013





Pamoja na wachama kutangaza kumng’a uenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, akiwa India yeye amesema wamefanya kikao cha Harusi.

Rage Mtanzania mwenye asili ya Somalia, amesema walichofanya hakikuwa sahihi na ndiyo maana mambo yao walifanyia uchochoroni na si klabuni.


Ameahidi atakaporejea nchini kutoka India anakotibiwa, atawashughulikia mara moja.
Picha zinaonyesha namna wanachama hao walivyoshiriki katika mkutano uliofanyika jana kwenye ukumbi wa Starlight jijini Dar es Salaam.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic