March 14, 2013



 Kikosi cha Simba leo kilifanya mazoezi kwenye Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam chini ya Kocha Patrick Liewig akiwa na wasaidizi wake, Jamhuri Kihwelo 'Julio', James Kisaka na Meneja, Moses Basena...pia Katibu Mkuu, Evodius Mtawala alihudhuria.

Kikosi hicho, kilijaza zaidi wachezaji chipukizi huku asilimia kubwa ya wakongwe wakiwa hawapo mazoezini na sababu lukuki zikitolewa. Endelea na picha.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic