March 17, 2013




Mechi inaendelea mjini Monrovia, wenyeji wamepata bao la kuongoza katika dakika ya 44.
Kwa sasa timu ziko mapumziko na wenyeji wanashangilia kwa nguvu ili timu yao iendelee kufanya vizuri.
Msemaji wa Azam FC, Jaffar Idd Maganga amesema bado ana imani wanaweza kurejesha bao hilo.



KIPINDI CHA PILI KIMEANZA

Azam wanapata bao la pili katika dakika ya 90, mfungaji Serif Abdallah Karihe....
Kipindi cha pili kimeanza, Azam FC wamefanikiwa kusawazisha kupitia kwa Humprey Mieno...hadi sasa Barrack 1 na Azam 1.

SASA NI MAPUMZIKO....

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic