April 16, 2013



 
Wachezaji wa Man United walikuwa wakijiandaa katika stesheni na Manchester kwa ajiliya safari kwenda London kuivaa West Ham United katika mechi ya Ligi Kuu England, kesho.


Pamoja wachezaji wote kufika mapema, Wayne Rooney alichelewa na baadaye alifika hapo akiwa amepata lifti my wife wake, Coleen.
Lakini kabla ya kuachana, walianza kupigana mabusu ambayo kwa kiasi fulani yalimshangaza kiungo wa timu hiyo, Michael Carrick.


Carrick alishindwa kujizuia na kumsuburi Rooney amalizane na shemeji na baada ya hapo akaanza kujadili na Rooney.



Haijulikani walijadili kitu gani, lakini walitumia muda wote kuzungumza na kucheka huku Carrick akionyesha kujadili kuhusiana na mabusu yalivyokuwa.

Man United inalazimika kushinda mechi ya kesho ili kujiweka sawa na kujihakikishia njia ya ubingwa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic