Kati ya ‘risasi’ tisa alizopiga Jose Mourinho, kati ya hizo tano
zimempata Kocha Mkuu wa Arsenal, Arsene Wenger.
Oh! Usisahau kuwa ishu hapa ni soka na siyo vita, lakini
inaonekana Mourinho ndiyo kiboko ya Wenger.
Angalia rekodi hizi, Arsenal chini ya Wenger na Chelsea zimekutana
mara tisa, Mreno huyo kashinda mara tano na sare ni nne.
Hakuna mechi ambayo Wenger ameshinda ukijumlisha ile ya jana
ambayo Arsenal ilibutuliwa kwa mabao 2-0 katika michuano ya Kombe la Capital
One.
ANGALIA REKODI YAO ...
Dec 12, 2004
Arsenal 2 Chelsea 2
Premier League
Arsenal 2 Chelsea 2
Premier League
Apr 20, 2005
Chelsea 0 Arsenal 0
Premier League
Chelsea 0 Arsenal 0
Premier League
Aug 7 2005
Chelsea 2 Arsenal 1
Community Shield
Chelsea 2 Arsenal 1
Community Shield
Aug 21, 2005
Chelsea 1 Arsenal 0
Premier League
Chelsea 1 Arsenal 0
Premier League
Dec 18, 2005
Arsenal 0 Chelsea 2
Premier League
Arsenal 0 Chelsea 2
Premier League
Dec 12, 2006
Chelsea 1 Arsenal 1
Premier League
Chelsea 1 Arsenal 1
Premier League
Feb 25, 2007
Chelsea 2 Arsenal 1
League Cup Final
Chelsea 2 Arsenal 1
League Cup Final
May 6, 2007
Arsenal 1 Chelsea 1
Premier League
Arsenal 1 Chelsea 1
Premier League
Oct 29, 2013
Arsenal 0 Chelsea 2
League Cup
Arsenal 0 Chelsea 2
League Cup
0 COMMENTS:
Post a Comment