Mshambuliaji wa
Atletico Madrid, Diego Costa amempiku Cristiano Ronaldo na kupaa katika listi
ya wafungaji bora wa La Liga.
Costa
amefikisha mabao 12 wakati Ronaldo ana 11 baada ya kufunga matatu wakati Real Madrid
ilipoichabanga Sevilla mabao 7-3.
Costa
amefikisha mabao 12 baada ya kufunga mkwaju wa penalty wakati Atletico Madrid
ilipoitwanga Granada kwa mabao 2-1, bao moja likiwa limefungwa na David Villa.
1
|
11
|
||
11
|
|||
3
|
8
|
||
4
|
7
|
||
5
|
6
|
0 COMMENTS:
Post a Comment