Kikosi cha Taifa Stars leo kimecheza
mechi mazoezi na kuambulia kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Future Taifa Stars.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye
Uwanja wa Karume, Stars walicheza taratibu na kwa kujiamini huku vijana wa
Future Taifa Stars ambayo ni timu ndogo ya taifa walionyesha wamepania zaidi.
Bao pekee katika mchezo huo lilifungwa
na na Elias Maguri ambaye alipokea pasi safi kutoka kwa Haruna Chanongo.
Stars walijitahidi kusawazisha bao hilo
la Maguri lakini haikuwa kazi lahisi na hadi mwisho, ngoma ikalala wakubwa
wakienda doro.
0 COMMENTS:
Post a Comment