Mahakama kuu imewahukumu tena Nguza
Viking na mwanaye Johnson Papii ‘Kocha’ kwenda gerezani maisha.
Wawili hao walikuwa wamekata rufaa na
leo ilikuwa ni hukumu yao lakini mambo yalikwenda tofauti.
Awali ilionekana kama leo ilikuwa siku
nzuri na wengi walitarajia wanamuziki hao maarufu ilikuwa ndiyo siku yao ya
kutoka.
Lakini mambo yalikwenda tofauti na
kuhukumiwa tena kifungo cha maisha gerezani hali iliyosababisha watu wengi
waliokuwa wamefika eneo hilo kuangua kilio.
0 COMMENTS:
Post a Comment