November 20, 2013





Mabao matatu yaliyopigwa na Cristiano Ronaldo yameivusha Ureno kucheza Kombe la Dunia mwakani.


Ushindi huo wa mabao 3-2 dhidi ya wenyeji Sweden ambao nao mabao yao mawili yalifungwa na nahodha, Zlatan Ibrahimovic.

Katika mechi ya kwanza, Sweden ikiwa ugenini ilikutana na kipigo cha bao 1-0.

Ureno ilianza kupata bao kupitia Ronaldo, wenyeji Sweden wakasawazisha na kufunga mabao mawili kupitia Ibrahimovic.

Lakini Ronaldo alipiga mabao mawili harakaharaka na kumaliza kabisa matumaini ya wenyeji.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic