BENZEMA |
Ufaransa imefanikiwa kufuzu kucheza Kombe la
Dunia baada ya kuigeuzia kibao Ukraine na kuichapa mabao 3-0.
Awali Ukraine ilishinda kwa mabao 2-0 ikiwa
nyumbani na kuweka matumaini ya juu kusonga mbele katika mechi hiyo ya marudiano ugenini.
Lakini leo kwa mabao ya Mamadou Sakho aliyefunga
mawili na Karim Benzema, Ufaransa imetinga fainali ya Kombe la Dunia.
Ilionekana ni vigumu kwa Wafaransa kusonga mbele
baada ya kufungwa mabao 2-0 katika mechi ya kwanza.
0 COMMENTS:
Post a Comment