SHABIKI WA SIMBA AKIJIFUTIA MAKALIO YAKE KIPANDE CHA JEZI YA YONDANI HUKU AKIWAONYESHA MASHABIKI WA YANGA. |
Shabiki mmoja wa Simba alitoa kali ya mwaka baada ya kuchukua kipande cha jezi ya beki
Kelvin Yondani na kujifutia makalio.
HAPA MASHABIKI HAO WAKIIGOMBEA JEZI HIYO WALIYORUSHIWA NA YONDANI, BAADAYE WALIICHANA VIPANDE KAMA INAVYOONEKANA. |
Yondani
aliyewahi kukipiga Simba kabla ya kutua Yanga, aliwarushia mashabiki hao jezi
wakati akitoka uwanjani baada ya kupewa kadi nyekundu.
Nao
wakaigombea kwa takribani dakika mbili na kuichana vipande, halafu shabiki huyo
akachukua kipande chake na kuanza kujifuta makalio huku akiyaelekeza kwenye
upande wa mashabiki wa Yanga.
0 COMMENTS:
Post a Comment