Liverpool wameamua
kuungoza uwanja wao wa Anfield ili uwe na uwezo wa kuchukua 60,000.
Kwa sasa uwanja huo maarufu
katika tasnia ya soka una uwezo wa kubeba watu 45,000.
Liverpool itatumia
kitita cha zaidi ya pauni milioni 150 katika ukarabati huo.
Picha ya dizaini mpya
ya uwanja huo inaonekana katika picha katika ukurasa huu.
Mashabiki wa
Liverpool wamekuwa wakiiunga mkono timu yao licha ya kufanya vibaya kwa kipindi
kirefu.
Lakini msimu huu
mambo yamekuwa mazuri na hadi sasa ina nafasi kubwa ya kurudisha heshima na
kutwaa ubingwa.
UNAVYOONEKANA SASA |
0 COMMENTS:
Post a Comment