June 30, 2014




Kauli ya mshambuliaji wa Uholanzi, Arjen Robben kwamba kweli alijirusha kwenye mechi dhidi ya Mexico imewakera mashabiki wa timu hiyo.
Robben amesema alijirusha mara kadhaa lakini akakataa kwamba alijiangusha katika dakika ya tatu ya nyongeza iliyozaa penalti.
Alisema mara zote alizojiangusha hakufanikiwa kumshawishi mwamuzi, lakini mwisho akaangushwa na Klaas Jan Huntelaar akapiga mkwaju wa penalti na kufunga.
Mashabiki wa Mexico walizichana picha za Robben na kumuita mwizi wengine wakamuita muongo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic