July 15, 2014


JAJA AKIWA NA KIZUGUTO NA BHINDA BAADA YA KUTUA JNIA.

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Geilson Santos Santana 'Jaja' raia wa Brazil tayari ametua nchini kwa ajili ya kujiunga na Yanga.

Jaja anatarajia kumalizia mazungumzo na kesho atasaini mkataba na Yanga.
Mshambuliaji huyo ametua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na kupokelewa na Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic