July 19, 2014



Mchezaji Abdallah Ugwadu wa timu ya Mazombi FC ya Buguruni, alijikuta akianguka uwanjani na kuzimia kwenye mchezo uliozikutanisha timu hiyo dhidi ya Wavuja Jasho ya Magomeni, uliopigwa kwenye Uwanja wa Malala, Magomeni.

Championi Jumamosi, lililokuwepo uwanjani hapo liloshuhudia tukio hilo na kumfuata Ugwadu ambaye alipata fahamu baada ya kutolewa nje ya uwanja na kuzungumza naye ambapo alisema tukio hilo lilitokana na kufunga mwezi wa Ramadhan, ambapo alicheza mechi hiyo akiwa amechoka sana kutokana na swaumu. 

SOURCE: CHAMPIONI JUMAMOSI

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic