July 19, 2014




NI kituko ambacho kimefanywa na mwamuzi Issa Juma, baada ya kuwahi kumaliza mechi kabla ya dakika 90, kisa ni kuwahi kufuturu baada ya muda kwa kufungulia kufika, katika mchezo uliozikutanisha timu za Amazing dhidi ya Wakushine kwenye Uwanja wa Kwizela, Kigogo, Dar.


Championi Jumamosi lililokuwepo uwanjani hapo lilishuhudia tukio hilo ambalo mwamuzi alilazimika kusitisha mchezo huo uliokuwa wa kukata na shoka ambapo hadi anapuliza kipenga matokeo yalikuwa ni suluhu.
SOURCE: CHAMPIONI JUMAMOSI

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic