PHIRI (KUSHOTO) AKIWA NA SALEH ALLY, MARA BAADA YA KUSAINI MKATABA WA KUINOA SIMBA KWA KANDARASI YA MWAKA MMOJA. |
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesaini mkataba wa mwaka mmoja
kuifundisha Simba.
Phiri raia wa Zambia amesaini mkataba huo leo kwenyeHoteli ya Regency.
Phiri ameiambia SALEHJEMBE, mkataba huo unampa ruhusa kuitumikia Simba
kwa matumaini makubwa.
“heshima ya Simba kwangu ni kubwa sana, ingawa nilikuwa nina mipango
mingine, lakini nimekubali kurejea.
“Kazi haitakuwa lahisi, lakini vizuri kwamba sasa tumeingia mkataba mpya
wa kazi, ninaamini mambo yatakwenda vizuri,” alisema Phiri.
0 COMMENTS:
Post a Comment